Item Details

Title: Maambukizi na udhibiti wa batobato kali ya mhogo (CMD)

Date Published: 2010
Author/s: NARO: National Cassava Programme (Uganda)
Data publication:
Funding Agency :
Copyright/patents/trade marks:
Journal Publisher:
Affiliation: NGETTA ZONAL AGRICULTURAL RESEARCH DEVELOPMENT INSTITUTE - NGEZARDI
Keywords:

Abstract:

Batobato kali ya mhogo (CMD) husababiswa na
virusi, kama wa lewa UKIMWI (AIDS). Virusi
huishi katika chembe hai ya viumbe. Huathiri
majani na mfumo wa maisha wa mimea na
kusababisha mazao kupungua. Kipeperushi hiki
kinaelezea jinsi ya kutambua mimea iliyoathirika
kwa batobato kali, jinsi virusi wauingiavyo
mmea wa mhogo na jinsi ya kudhibiti ugonjwa
huo.